Kwa kauli zifuatazo andika ​KWELI kwa kauli iliyo sahihi au ​SIO KWELI ​kwa kauli isiyo sahihi.

Question

(i) Kazi​ ​ya​ ​fasihi​ ​ni​ ​moja​ ​tu​ ​na​ ​ni​ ​ile​ ​ya​ ​kuelimisha​ ​jamii.​ ​​

(ii) Kiunganishi​ ​ni​ ​neno​ ​ambalo​ ​huunganisha​ ​dhana​ ​mbili​ ​tu.​ ​​

(iii) Elekeza, shikilia, shikamana, maelekezo, mshikamano, tolewa, nitakutolea, ondokeni ni maneno​ ​yaliyoundwa​ ​kutokana​ ​na​ ​mnyumbuliko​ ​​

(iv) Methali​ ​ni​ ​usemi​ ​wenye​ ​pande​ ​mbili​ ​​

(v) Kitendawili ni aina ya fumbo lisilotumia lugha ya picha lakini hudai jibu

Leave an answer

Sorry, you do not have permission to answer to this question .